Back to home

Mama Ida Odinga awarai wananchi kuzingatia amani wakati wa shughuli za mazishi ya hayati Raila

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 18, 2025
3w ago
Mama Ida Odinga amewarai wananchi kuzingatia amani wakati wa shughuli za mazishi ya Hayati Raila Odinga. Akizungumza nyumbani kwake Opoda Farm, huko Bondo, Siaya, Mama Ida alishukuru kw ajumbe nyingi za rambirambi kutoka kwa watu mbalimbali humu nchini na kimataifa. Mama Idah ali