Back to home

Viongozi walalamika watoto wengi wanadhulumiwa kimapenzi eneo la Gusii

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 12, 2025
2h ago
Viongozi na wanaharakati kutoka eneo la Gusii wameelezea wasiwasi wao kuhusu ongezeko la dhuluma kwa watoto na kuchangia visa vya minba za mapema. wameihimiza jamii kushirikiana kukabili visa vya watuhumiwa wa dhulma hizo kukwepa mkondo wa sheria wakitafuta suluhu ya maafikiano y