Back to home
Wafanyakazi wa ujenzi wa barabara waandamana Pokot Magharibi
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
2h ago
Wafanyakazi zaidi ya 400 wa barabara katika Kaunti ya Pokot Magharibi wamegoma na kufunga barabara ya Kitale kuelekea Kapenguria hadi Lodwar, wakipinga malipo duni na mazingira mabaya ya kazi.





