Back to home
Viongozi waitaka serikali iimarishe usalama katika shughuli za uchimbaji wa mafuta kaunti ya Turkana
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
2h ago
Huku shughuli za uchimbaji wa mafuta katika Kaunti ya Turkana zikitarajiwa kuanza rasmi, baadhi ya viongozi wamejitokeza na kupinga hatua hiyo wakitaka serikali ijenge barabara ya Lami kutoka Lokichar kwenda Lokori na Kapedo hadi Chemolingot kabla ya shughuli hiyo kuanza rasmi.





