Back to home
Wakazi wa Nyamira na Bungoma waaandamana dhidi ya hali mbovu ya barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
1h ago
Wakazi wa maeneo ya nyamira na bungoma walipeleka malalamishi yao barabarani kutokana na hali mbovu ya barabara. Barabara hizo zimesalia katika hali mbaya kwa miaka, licha ya rais William Ruto kutoa ahadi tangu alipokuwa naibu rais ya kutengenezwa kwa barabara hizo ziwe lami.




