Back to home

Kenha yatakiwa kuweka matuta na alama za barabarani Emali-Loitokitok

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 12, 2025
2d ago
Serikali kupitia mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu humu nchini Kenha imetakiwa kuweka matuta, na alama za barabarani kwenye barabara kuu ya Emali kwenda Loitkotok kaunti ya Kajiado ili kupunguza ajali. Wakazi wa Loitokitoka walioungana na maafisa wa usalama na viongozi wa kidini