Back to home
Kundi la akina mama wazee katika kaunti ya Nandi waanzisha Tegat Grannies Football Club
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
3h ago
Kundi la akina mama wazee katika kaunti ya Nandi limeanzisha timu ya soka inayojulikana kama Tegat Grannies Football Club . Timu hiyo inatumia mchezo wa mpira wa miguu kama njia ya kuimarisha afya ya mwili na kukabiliana na maradhi yanayoambatana na uzee.





