Back to home
Shabiki.com yafadhili Rashid Abdalla Super Cup michuano inayoendelea Mombasa na Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
3h ago
Kampuni ya Shabiki.com imefadhili makala ya sita ya mashindano ya kandanda ya Rashid Abdalla Super Cup, michuano inayoendelea katika kaunti za Mombasa na Kwale. Afisa wa oparesheni Shabiki.com, Abdi Waqo, amesema lengo kuu la shabiki.com ni kuinua na kukuza vipaji mashinani.





