Back to home

Wizara ya elimu imevitaka vyuo vikuu nchini kuanza kujitayarisha kwa mfumo wa elimu wa CBE

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 14, 2025
1h ago
Wizara ya elimu imevitaka vyuo vikuu nchini kuanza kujitayarisha kwa mfumo wa elimu wa CBE, huku wanafunzi wa kwanza katika mfumo huo wakitarajiwa kuingia gredi ya kumi mwaka ujao.