Back to home

IEBC yaanzisha uchunguzi kuhusu ghasia zilizoshuhudiwa katika eneo bunge la Kasipul

video
N
NTV Kenya (Youtube)
November 14, 2025
2h ago
Tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC imesema kuwa imeanza uchunguzi kuhusu ghasia zilizoshuhudiwa katika eneo bunge la Kasipul kaunti ya Homa Bay baada ya wafuasi wa wamgombea wawili wa kiti cha ubunge wa eneo hilo kupatana katika hafla ya kisasa. Subscribe and watch NTV Kenya