Back to home
Joho aonya dhidi ya viongozi wa ODM kutoa kauli tofauti tofauti kuhusu mustakabali wa chama
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 14, 2025
2h ago
Waziri wa madini Ali Hassan Joho ameonya dhidi ya viongozi wa ODM kutoa kauli tofauti tofauti kuhusu mustakabali wa chama, akisema hali hiyo inatishia kuyumbisha chama.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussi





