Back to home
WEEGO, Safaricom na NTSA waongoza mdahalo wa kuboresha mfumo wa usafiri wa pikipiki na tuktuk nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)November 14, 2025
1h ago
Kampuni ya WEEGO, safaricom, mamlaka ya usalama barabarani ntsa na chama cha waendeshaji bodaboda hii leo waliungana na wadau wengine kujadili njia za kutekeleza mfumo wa usafiri wa pikipiki na tuktuk nchini Kenya





