Back to home
KPA yapigwa 71–61 mechi ya mwisho ya kundi A lakini yasonga hadi nusu fainali
video
C
Citizen TV (Youtube)November 14, 2025
2h ago
Waalikishi wa Kenya kwenye mchuano wa kufuzu kwa klabu bingwa barani katika mchezo wa vikapu KPA, walipokea kichapo cha 71-61 kwenye mechi ya mwisho ya kundi "A". Hata hivyo KPA ilifuzu kwa nusu fainali inayoendelea kwa sasa.









