Back to home
Kamati ya seneti kuhusu uhasibu yamdadisi gavana wa kericho Eric Mutai
video
C
Citizen TV (Youtube)December 2, 2025
3h ago
Gavana wa Kericho Eric Mutai alikuwa na wakati mgumu kueleza kamati ya seneti ya matumizi ya pesa za umma kuhusu sababu za kupungua kwa mapato ya kaunti ya kericho. Mwenyekiti wa kamati hiyo seneta Moses Kajwang alitaka kujua kilichosababisha kaunti hiyo kuacha kutumia mfumo wa k





