Back to home
Wanafunzi wapewa viatu eneobunge la Teso Kaskazini ili kupunguza changamoto sugu ya uvamizi wa funza
video
C
Citizen TV (Youtube)December 2, 2025
3h ago
Katika juhudi za kupunguza changamoto sugu ya uvamizi wa funza miongoni mwa wanafunzi kutoka familia masikini katika kaunti ya Busia, jumla ya wanafunzi elfu arobaini katika kaunti hiyo watanufaika na msaada wa viatu vya bure....mpango huo umefanikishwa na mashirika mbalimbali na




