Back to home

Serikali ya kaunti ya Murang'a yakarabati masoko na vituo vya biashara

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 2, 2025
1h ago
Gavana wa Murang'a, Dkt. Irungu Kang'ata, pamoja na uongozi wa kaunti, ameendelea kuzindua mradi wa Smart City maeno mengi ya kaunti hiyo kwa lengo la kufungua vituo vya ununuzi, miji, na masoko kwa ajili ya kukuza uchumi.