Back to home
Makundi 29 yapewa mikopo bila riba kutoka hazina ya wanawake kaunti ya Makueni
video
C
Citizen TV (Youtube)December 2, 2025
2h ago
Vikundi 29 vya wanawake katika eneo bunge la Mbooni kaunti ya Makueni vimenufaika na shilingi milioni 8.3 fedha za hazina ya wanawake nchini . Aidha wametakiwa kutumia fedha walizopata vizuri ili kuendelea kuinua hali zao za maisha.




