Back to home

Wanawake wakuza mboga na nafaka ili kupunguza utapiamlo Isiolo

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 9, 2025
5h ago
Wakazi wa jamii ya wasamburu katika wadi ya Oldonyiro, Kaunti ya Isiolo wananufaika kutokana na uzalishaji wa mazao kuanzia mwaka jana, kupitia Mradi wa Utoshelevu wa Chakula uliotekelezwa na shirika la Action Against Hunger kwa ushirikiano na Idara ya Kilimo ya Kaunti hiyo. Mrad
Advertisement