Back to home
NTSA yawapokonya leseni madereva 62 wa umma, yawaagiza kufanya upya mtihani wa udereva
video
C
Citizen TV (Youtube)December 9, 2025
1h ago
Mamlaka ya usalama barabarani NTSA, imewapokonya leseni madereva 62 wa magari ya usafiri wa umma na kuwaagiza wafanye upya mtihani wa udereva
Advertisement

