Back to home

Wanaume wawili wapigwa risasi kwenye vurugu za sherehe ya ushindi Kariobangi North

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 9, 2025
1h ago
Wanaume wawili mtaani Kariobangi North wanauguza majeraha ya risasi baada ya kujipata kwenye vurugu wakati wa hafla ya sherehe ya ushindi wa mwakilishi wodi iliyohudhuriwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua. Wiki moja unusu baada ya matukio hayo ya vurugu, waathiriwa bado hawajapa
Advertisement