Back to home

Wanariadha wa kike wadhulumiwa Elgeyo Marakwet

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 4, 2026
2w ago
‘Asilimia 30 ya Wanariadha wa kike kaunti ya Elgeyo Marakwet wameweza kupitia changamoto za dhulma za kijinsia’ Haya ni kwa mujibu wa Waziri anayesimamia maswala jinsia na utamaduni nchini Anne Cheptumo . Kulingana naye, visa hivyo vingi vinatoka kwa watu wa karibu wa famili
Advertisement