Back to home

Magavana wa Kwale na Nyeri wachunguzwa kuhusu gharama ya nyumba rasmi na hatimiliki za ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 4, 2026
2w ago
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani alikabiliwa na maswali chungu nzima kuhusu gharama ya juu ya ujenzi wa nyumba rasmi ya gavana huko kwale. Naye mwenzake wa Nyeri mutahi kahiga pia alibanwa kuhusu ukosefu wa hatimiliki ya ardhi ambayo nyumba ya gavana wa nyeri imejengwa. Wa
Advertisement