Back to home
Familia tatu zinalilia haki kwa majeraha kwa jamaa zao Nyamira
video
C
Citizen TV (Youtube)February 9, 2026
1w ago
Familia tatu kutoka eneo la Morako kaunti ya Nyamira zinalilia haki baada ya jamaa zao kuripotiwa kupigwa kinyama ndani ya kituo cha polisi cha Manga Sengera na kuwaacha na majeraha mabaya hadi kwenye sehemu zao za siri. Wanaume hao ambao ni waendesha pikipiki za kukodishwa, wali
Advertisement
Advertisement



