Back to home

Chuo kikuu cha Kenyatta waanza vyema kampeni ya kutetea taji la mpira wa kikapu Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 20, 2026
2h ago
Mabingwa watetezi wa michezo ya vyuo vikuu nchini, chuo kikuu cha Kenyatta, walianza vyema kampeni yao ya kutetea taji la mpira wa kikapu kwa wachezaji watatu kila upande kwa kukilaza chuo cha maseno katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa katika uwanja wa chuo cha Kabarak, Nakuru
Advertisement