Back to home
Polisi Kayole wachunguza kisa cha unyanyasaji wa mwanamke
video
C
Citizen TV (Youtube)May 24, 2026
1h ago
Polisi katika kituo cha Soweto, eneo la Kayole, wanachunguza kisa cha unyanyasaji wa mwanamke mwenye umri wa miaka 25 aliye na ulemavu wa akili, ambapo anadaiwa kushambuliwa na jamaa wake, hali iliyozua hofu miongoni mwa wakazi wanaodai familia hiyo imeficha ukweli. Mamake mshuki
Advertisement
Advertisement





