Back to home
Waziri Aden duale asema serikali imechukua hatua kali mipakani kuzuia Ebola
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
1h ago
Waziri wa Afya Aden Duale amesisitiza kuwa serikali imeweka mikakati ya kutosha kuzuia na kudhibiti ugonjwa hatari wa ebola dhidi ya kupenyeza kwenye mipaka ya kenya. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya sherehe za Eid Al-Adha Duale amesema wasafiri wanaotoka katika Jamhuri ya Ki
Advertisement
Advertisement





