Back to home

Aliyekuwa jaji mkuu mstaafu David Maraga na wenzake 8 wakamatwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 9, 2026
1h ago
Jaji mkuu mstaafu David Maraga alikuwa miongoni mwa wanaharakati 9 waliokamatwa na kuzuiliwa katika kituo cha polisi cha Lang’ata siku ya jumatatu kabla ya kuachiliwa baadaye. Tisa hao walikuwa kwenye maandamano ya kupinga kuhamishwa kwa mbuga ya wanyama ya Nairobi na ujenzi wa
Advertisement