Back to home
Vijana watatu waliouawa kwa njia mjini Machakos tatanishi wakumbukwa
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Jamaa na marafiki wa vijana watatu waliouawa mjini Machakos wakusanyika na kuwasha mishumaa kuwakumbuka vijana hao. Watatu hao wapoteza maisha yao chini ya mazingira yasiyoeleweka huku uchunguzi waendelea.
Advertisement
Advertisement




