Back to home
Wakazi wa Lamu wataka serikali kuondoa kafyu ya usafiri usiku
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Wakazi wa Lamu waendelea kushinikiza serikali kuu kuondoa kafyu ya safari za usiku kwenye barabara kuu ya Lamu kwenda Witu na Garsen ili waweze kusafiri kwa saa 24 kama sehemu zengine za nchi.
Advertisement
Advertisement





