Back to home

Mali ya mamilioni ya pesa yaharibiwa ikiwemo mibuni katika eneo la bunge la Kimilili

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 9, 2026
1h ago
Mali ya thamani ya takriban shilingi milioni sita, ikiwemo mimea ya kahawa iliyokuwa imepandwa katika kipande cha ardhi cha ekari tatu pamoja na mtambo wa kukaushia kahawa, vyaharibiwa katika kiwanda cha kahawa cha Kaptola kilichopo eneo la bunge la Kimilili .
Advertisement