Back to home
Mali ya mamilioni ya pesa yaharibiwa ikiwemo mibuni katika eneo la bunge la Kimilili
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Mali ya thamani ya takriban shilingi milioni sita, ikiwemo mimea ya kahawa iliyokuwa imepandwa katika kipande cha ardhi cha ekari tatu pamoja na mtambo wa kukaushia kahawa, vyaharibiwa katika kiwanda cha kahawa cha Kaptola kilichopo eneo la bunge la Kimilili .
Advertisement
Advertisement





