Back to home
KEWOPA yapendekeza kurejeshwa kwa viboko shuleni kukabiliana na utovu wa nidhamu
video
C
Citizen TV (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Muungano wa viongozi akina mama bungeni wa(KEWOPA) yapendekeza kurejeshwa kwa adhabu ya viboko shuleni kama njia ya kukabiliana na utovu wa nidhamu na ongezeko la visa vya moto katika taasisi za elimu. Pendekezo hilo linajiri huku zaidi ya shule kumi zikifungwa kufuatia misururu
Advertisement
Advertisement





