Back to home

Refa Omar Artan azuiwa kuingia Marekani licha ya uteuzi wa FIFA

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 9, 2026
8h ago
Refa kutoka Somalia Omar Artan amezuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa mmoja wa marefa waliochaguliwa na shirikisho la kandanda FIFA kusimamia mechi katika dimba la kombe la dunia la kandanda linaloanza siku ya Alhamisi.. Artan alikuwa amefika Miami lakini alizuiwa kuingia Mareka
Advertisement