Back to homeWatch Original
Wagonjwa Kasarani, Mwiki na Githurai walalamika kuhusu SHA
video
July 19, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Wagonjwa katika mitaa ya Kasarani, Mwiki na Githurai, wamelalamikia kuhusu bima ya afya kwa jamii SHA kukosa kufadhili huduma ya matibabu kwa misingi isiyo eleweka licha ya wenyeji kulipia kila mwezi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday ..