Back to home

Simanzi yatanda Gilgil katika ibada ya wafu ya wanafunzi 16

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 12, 2026
1mo ago
Simanzi nzito na majonzi vilitanda katika uwanja wa Gilgil wakati wa ibada ya wafu ya wanafunzi 16 waliofariki kwenye mkasa wa moto wa Utumishi Girls Academy. Mamia ya waombolezaji waliungana na familia za wanafunzi hao na kueleza vifo hivyo kuwa vya kusikitisha na kuvunja moyo.

More on this topic

Mourning engulfs Gilgil after 16 students die in Utumishi Girls Academy fire - June 2026

Mourning engulfed Gilgil as hundreds gathered for the funeral service of 16 students who tragically perished in a fire at Utumishi Girls Academy. Kenya National Union of Teachers (Knut) Secretary General Collins Oyuu has stated that teachers should not bear the sole responsibility for the unrest reported in schools. Members of Parliament are reportedly considering a return to caning in schools as a measure to address rising student unrest across Kenya.

3 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement