Back to home

Washukiwa 3 wafikishwa mahakamani Nairobi kwa wizi wa mitandaoni

video
May 5, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Washukiwa watatu waliouhusishwa na ulaghai wa kidijitali watasalia gerezani kwa siku kumi uchunguzi ukiendela na pia kutoa muda wa kukamatwa kwa washukiwa wengine 18 wanaohusishwa na sakata hiyo. Kama anavyotuarifu wetu, Odee Francis, washukiwa hao watatu wanatuhumiwa kwa kuingi..