Back to homeWatch Original
Serikali yapania kuimarisha sekta ya biashara ndogondogo
video
May 7, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Sekta ya biashara ndogondogo na zile za kadri inatarajiwa kuimarika , kutokana na juhudi za serikali kuu kushirikiana na vyama vya akiba na mikopo. Maafisa wa serikali wanakusanya maoni ya wananchi ya kuboresha sera zinazodhibiti sekta hiyo...