Back to homeWatch Original
Wakaazi wa Nyahururu walalamikia kuongezwa kwa ada ya huduma za maji
video
May 7, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakazi kutoka mji wa Nyahururu na maeneo yaliyo karibu wamelalama kuhusu kuongezeka kwa gaharama ya huduma za maji baada ya Kampuni ya Nyahuwasco kuongeza ada ya maji maradufu. Ongezeko hilo, ambalo lilianza kutekelezwa tarehe moja Mei, limesababisha ghadhabu kutoka wakaazi ambao..