Back to home

Wakaazi wa Nyahururu walalamikia kuongezwa kwa ada ya huduma za maji

video
May 7, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi kutoka mji wa Nyahururu na maeneo yaliyo karibu wamelalama kuhusu kuongezeka kwa gaharama ya huduma za maji baada ya Kampuni ya Nyahuwasco kuongeza ada ya maji maradufu. Ongezeko hilo, ambalo lilianza kutekelezwa tarehe moja Mei, limesababisha ghadhabu kutoka wakaazi ambao..