Back to home

Wananchi washauriwa kuripoti visa vya ukeketaji Samburu

video
May 7, 2025
about 1 month ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa Kaunti ya Samburu wametakiwa kuripoti visa vya ukeketaji wa mtoto wa kike, kama njia Moja ya kuangamiza Mila hiyo potovu iliyopitwa na wakati na kuharamishwa na Sheria za nchi hii. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi kutoka Samburu...