Back to home

Jamii ya Waturkana yampongeza rais kwa kumteua Ethekon kuwa mwenyekiti wa IEBC

video
May 10, 2025
28 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kuteuliwa kwa wakili Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti mpya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kutoka jamii ya Waturkana, kumewafurahisha sana wakazi wengi wa Turkana wakisema uteuzi huo ni wa kipekee na kihistoria. Mwanahabari wetu Cheboit Emmanuel amezuru nyumbani kwa..