Back to home

Mashindano ya teknolojia nchini Uturuki

video
May 10, 2025
28 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Huku wizara ya elimu ikiendelea kutekeleza mtaala mpya wa CBC, Kenya ina mengi ya kujifunza kutoka Uturuki kuhusu teknolojia. Taifa hilo huandaa maonyesho ya teknolojia hasa katika sayansi na ufundi wa vyombo vya angani maarufu TEKNOFEST ambapo wanafunzi wa shule za upili na vij..