Back to homeWatch Original
Mtu mmoja afariki kwenye ajali eneo la Tetu, Nyeri
video
May 12, 2025
26 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Polisi wanamtafuta dereva wa matatu moja ambayo ilipata ajali iliyosababisha kifo cha Mtu mmoja huku watu wengine wawili wakijeruhiwa vibaya na kukimbizwa katika hospitali ya rufaa ya nyeri. Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Jua Kali, huko Tetu Kaunti ya Nyeri. Kulingana na afi..