Back to home

NTV Mashinani: Vijana kutoka Narok wajiajiri kwa kuuza mahindi ya kuchoma kando ya barabara kuu

video
May 12, 2025
26 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Vijana wengi kutoka eneo la Nairegia Enkare, kaunti ya Narok, wamechukua hatua ya kujiajiri kwa kuuza mahindi ya kuchoma kando ya barabara kuu kutoka Narok kuelekea Nairobi. Pata taarifa hii na nyinginezo kutoka maeneo tofauti ya Kenya. Subscribe to NTV Kenya channel for latest..