Back to homeWatch Original
Wakaazi wa Samburu wataka mapendekezo ya bajeti ya mwaka 2025/2026 kutiliwa manani
video
May 16, 2025
24 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kamati ya bajeti katika bunge la kitaifa imeendesha vikao vya kukusanya maoni kuhusu makadirio ya bajeti ya mwaka 2025/2026 katika kaunti ya Samburu. Wakazi wametoa wito Kwa mapendekezo ya wakenya kutiliwa maanani badala ya kuyapuuza kama iliyoshuhudiwa mwaka Jana na kuwashinikiz..