Back to home
Wauguzi katika kaunti ya Nyamira wasusia kazi na kushiriki maandamano ya amani
video
C
Citizen TV (Youtube)May 16, 2025
7mo ago
Wauguzi katika kaunti ya Nyamira leo wamesusia kazi na kushiriki maandamano ya amani kulalamikia kucheleweshwa kwa mishahara yao, upendeleo katika kupandishwa vyeo na mazingira duni ya kufanyia kazi.
Advertisement
Advertisement



