Back to home

Viongozi wa dini wakosoa wawakilishi wadi wa Nyamira kwa ugomvi

video
May 16, 2025
23 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Muungano wa wachungaji katika kaunti ya Nyamira kwa mara ya kwanza umejitokeza kukemea mgogoro unaoendelea katika bunge la kaunti ya Nyamira, uliowagawanya wawakilishi wadi kwa mirengo miwili inayoandaa vikao sambamba katika maeneo tofauti kinyume na sheria...