Back to homeWatch Original
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Nairobi Prof. Amukowa Anangwe na wengine watatu wachunguzwa
video
May 16, 2025
22 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Nairobi, Profesa Amukowa Anangwe pamoja na maafisa wengine watatu waandamizi walikamatwa Ijumaa na maafisa wa Kupambana na Ufisadi (EACC) na kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya mamlaka. Profesa Anangwe na wanachama wengine wa baraza la chuo hi..