Back to home

Duale: Hakuna fedha za mikataba ya kudumu kwa wafanyakazi wa UHC

video
May 17, 2025
22 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waziri wa Afya, Aden Duale, amesema kuwa Wizara ya Afya haina fedha za kutosha kuwaajiri wafanyakazi wa Huduma ya Afya kwa Wote (UHC) kwa mikataba ya kudumu na yenye mafao ya uzeeni. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans..