Back to homeWatch Original
Morara Kebaso aionya serikali dhidi ya njama yoyote ya kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu wa 2027
video
May 18, 2025
20 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Kiongozi wa chama cha Inject Morara Kebaso ameionya serikali dhidi ya njama yoyote ya kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka wa 2027. Kebaso na viongozi wengine chipukizi kama vile Kasmuel McOure wameshikilia kuwa rais William Ruto ni rais wa muhula mmoja Subscribe to NT..