Back to home

Mafuriko yasababisha hasara kaunti ya Mombasa

video
May 19, 2025
20 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mvua inayoendelea kunyesha kaunti ya Mombasa imesababisha mafuriko katika mitaa mingi kaunti hiyo. Eneo bunge la Nyali ndilo lililoathirika zaidi huku baadhi ya wanafunzi wakikosa masomo kutokana na mafuriko. Aidha barabara za Links, Beach road na Mto Ndia zimekuwa kero kwa mader..