Back to homeWatch Original
Tundu Lissu afikishwa katika mahakama ya Kisutu
video
May 19, 2025
21 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Licha ya wanaharakati na aliyekuwa Jaji mkuu Willy Mutunga kuzuiliwa nchini Tanzania, aliyekuwa jaji mkuu David Maraga amefika katika mahakama ya Kisutu nchini Tanzania kuonyesha umoja wake na kiongozi wa upinzani wa nchi hiyo ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu...